Get Ha-He Lyrics Just A Band lyrics by Just a Band free! Amazing collection of all Just a Band song lyrics in one place. Click the printer icon next to the song title to print the words.

Just a Band Ha-He Lyrics Just A Band lyrics

Just a Band lyrics of all songs.
Album:
82
Ha-He Lyrics Just A Band lyrics by Just a Band



Microphone check one, one two (Musyoka)

[Verse 1]

Ukiwasha nare Mathare 'taonja vibare
Mi si mnati, si barbie, niko tu katikati
Staki kuskiza story za charity, charity
Nipe wings ni-defy-fy gravity, gravity
Sema oh

[Hook]

Juu tuko works mzeiya
Evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

[Verse 2]

Serikali haijali
So naona mbwa kali afadhali
Dame amejam juu dough haikam

Na siwezi kum-show ati life ni exam juu
Ntatupiwa sufuria
Na hizo ni aibu ndogo ndogo mi sipendi
So nikikupita tao, tao
Jua sio madharau-rau

[Hook]

[Verse 3]

Nipe, nipe nafasi
Nikueleze kiasi
Vile sisi hufanya
Pande hii ya the tracks
Hatuchezi na kazi
Usipoteze wakati
Tumekunja mashati

[Hook x 5]

Popular artists